Kikosi kazimaalum kutoka Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo wa kiongea na Kaimu Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Manispaa ya Mtwara-Mikindani ,Bw. Rashid Mohamed walimpotembelea leo ofisini kwake kwa ajili ya kufuatilia na kufanya tathmini ya mikopo iliyokwishatolewa katika Halmashauri ya Manispaa ya Mtwara-mikindani.
Wajumbe wa kikundi cha AMKENI kutoka Halmashauri ya manispaa ya Mtwara mikindani wakiwa katika majadiliano na wajumbe wa kikosi kazi maalum kutoka Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo walipowatembea leo ili kufanya ufuatiliaji na tathmini ya mikopo iliyokwishatolewa kwa kikundi hicho ilikujua nichangamoto gani wamekutana nazo ilikuboresha zaidi Mfuko wa Maendeleo ya Vijana.
Afisa Uchumi Mwandamizi kutoka Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo ,Bw.Yohana Ngao akiwa katika majadiliano na kaimu mkurugenzi wa Halmashauri ya Mtwara Vijijini Bw.Oscar Ng’itu ilikujua maoni na changamoto wanazopata wana vikundi waliopata mkopo kupitia mfuko wamaendeleo yaVijana katika eneo lake.
4875:Mwenyekiti wa Halmshauri ya Mtwara Vijijini Bw. Musa Said akimkaribisha ofisini kwake kiongozi wa kikosi kazi kutoka Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo Afisa uchumi mwandamizi Bw.Ngao Yohana walipotembelea wilaya iyo ilikufanya tathmini na ufuatiliaji wa mfuko wa Maendeleo ya Vijana.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Mifuko hii iendelezwe ili vijana nchini kote waboreshe maisha yao.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...