Kikosi kazimaalum kutoka Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na
Michezo wa kiongea na Kaimu Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya
Manispaa ya Mtwara-Mikindani ,Bw. Rashid Mohamed walimpotembelea
leo ofisini kwake kwa ajili ya kufuatilia na kufanya tathmini ya mikopo
iliyokwishatolewa katika Halmashauri ya Manispaa ya Mtwara-mikindani.
Wajumbe wa kikundi cha AMKENI kutoka Halmashauri ya manispaa ya
Mtwara mikindani wakiwa katika majadiliano na wajumbe wa kikosi kazi
maalum kutoka Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo
walipowatembea leo ili kufanya ufuatiliaji na tathmini ya mikopo
iliyokwishatolewa kwa kikundi hicho ilikujua nichangamoto gani
wamekutana nazo ilikuboresha zaidi Mfuko wa Maendeleo ya Vijana.
Afisa Uchumi Mwandamizi kutoka Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni
na Michezo ,Bw.Yohana Ngao akiwa katika majadiliano na kaimu
mkurugenzi wa Halmashauri ya Mtwara Vijijini Bw.Oscar Ng’itu ilikujua
maoni na changamoto wanazopata wana vikundi waliopata mkopo kupitia
mfuko wamaendeleo yaVijana katika eneo lake.
4875:Mwenyekiti wa Halmshauri ya Mtwara Vijijini Bw. Musa Said
akimkaribisha ofisini kwake kiongozi wa kikosi kazi kutoka Wizara ya
Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo Afisa uchumi mwandamizi Bw.Ngao
Yohana walipotembelea wilaya iyo ilikufanya tathmini na ufuatiliaji wa
mfuko wa Maendeleo ya Vijana.
Mifuko hii iendelezwe ili vijana nchini kote waboreshe maisha yao.
ReplyDelete