Viongozi wa chama cha skauti wakiwa pamoja na wadhamini wa chama hicho ambao ni Rais Mstaafu Mhe Ali Hassan Mwinyi na Waziri Mkuu Mstaafu,Mhe. Salim Ahmed Salim. Wengine pichani ni mbele ni Kamishina Mkuu Ndg Abdulkarim Shah, Mwenyekiti wa kamati ya Utendaji Balozi Kuhanga na Naibu Kamishina Mkuu Rashid K Mchatta.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...