Viongozi wa chama cha skauti wakiwa pamoja na wadhamini wa chama hicho ambao ni Rais Mstaafu Mhe Ali Hassan Mwinyi na Waziri Mkuu Mstaafu,Mhe. Salim Ahmed Salim. Wengine pichani ni mbele ni Kamishina Mkuu Ndg Abdulkarim Shah, Mwenyekiti wa kamati ya Utendaji Balozi Kuhanga na Naibu Kamishina Mkuu Rashid K Mchatta.
Home
Unlabelled
Viongozi wa Chama cha Skauti wakutana na Wadhamini wa Chama
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...