Mmiliki wa mtandao wa matukiodaima akiwa ameshika kiatu cha michezo (njumu) ya asili kilichotengenezwa kwa udongo ambacho kinauzwa kati ya Tsh 150,000 kwa kimoja na pea moja ni Tsh 300,000.kiatu hiki ni moja kati ya vivutio vya utalii katika wilaya ya Mufindi mkoani Iringa vinavyotengenezwa eneo la Rungemba na kuvutia watalii wa ndani na nje.
Baadhi ya vifaa mbali mbali vilivyotengenezwa kwa udongo eneo la Rungemba Mufindi ni zaidi ya utalii.
Mmoja kati ya wanahabari mkoani Iringa Mawazo Marembeka akitazama vyungu eneo la Rungemba Mufindi mkoani Iringa.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...