Baadhi ya Wajumbe wa Serikali za Mitaa waliopatikana katika Uchaguzi uliofanyika hivi karibuni kutoka katika Majimbo ya Ilala,Ukonga na Segerea wakila kiapo mbele Wakili wa Serikali kwenye Ukumbi wa Arnautoglo,Mnazi Mmoja jijini Dar es salaam leo.
Baadhi ya Wenyeviti wa Serikali za Mitaa waliopatikana katika Uchaguzi uliofanyika hivi karibuni kutoka katika Majimbo ya Ilala,Ukonga na Segerea wakila kiapo mbele Wakili wa Serikali (hayupo pichani) kwenye Ukumbi wa Arnautoglo,Mnazi Mmoja jijini Dar es salaam leo.
Sehemu ya Wenyeviti na Wajumbe wao wakiwa nje ya Ukumbi wa Arnautoglo,Mnazi Mmoja jijini Dar es salaam leo wakisubiria kuitwa majini yao kwa ajili ya kwenda kula viapo.
Sehemu ya Wenyeviti na Wajumbe wao wakijaza fomu za viapo kabla ya kuapishwa.
Hongera kwa kupatiwa dhamana ya uelekeza maendeleo ya jiji katika sehemu mlizoshinda.
ReplyDelete