Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha ikulu na kufanya mazungumzo na Balozi wa Saudi Arabia anayemaliza muda wake Mhe. Hani Abdullah Mominah wakati balozi huyo alipokwenda ikulu kuagana na Rais leo.
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akifanya mazungumzo na Balozi wa Saudi Arabia anayemaliza muda wake Mhe. Hani Abdullah Mominah wakati balozi huyo alipokwenda ikulu kuagana na Rais leo.
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiagana na Balozi wa Saudi Arabia anayemaliza muda wake Mhe. Hani Abdullah Mominah wakati balozi huyo mara baada ya kuzungumza nae alipokwenda ikulu kumuaga Rais leo (picha na Freddy Maro)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...