Kaimu Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa Benki ya NBC, Rukia Mtingwa akifungua semina ya wahariri wa habari za biashara na uchumi kutoka vyombo mbalimbali vya habari iliyodhaminiwa na benki hiyo jijini Dar es Salaam
 Meneja Mahusiano wa Benki ya NBC, William Kallaghe akizungumza wakati wa semina ya wahariri wa habari za biashara na uchumi iliyodhaminiwa na benki hiyo jijini Dar es Salaam
 Meneja Mwenza wa Kampuni ya Auditax international,  Straton Makundi akiwasilisha mada kuhusu uelewa wa taarifa za fedha za taasisi mbalimbali wakati wa semina ya wahariri wa habari za biashara na uchumi iliyodhaminiwa na benki ya NBC jijini Dar es Salaam.
 Mhariri Mtendaji Mkuu wa kampuni ya Mwananchi C          ommunications Ltd, Bakari Machumu akitoa mada kuhusu uandishi sahihi wa habari za biashara na uchumi   wakati wa semina ya wahariri wa habari za biashara na uchumi iliyodhaminiwa na benki ya NBC jijini Dar es Salaam
 Mhadhiri wa Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM), Salutary Orio aliwasilisha mada kuhusu sheria za mabenki na biashara za kibenki wakati wa semina ya wahariri wa habari za biashara na uchumi iliyodhaminiwa na benki hiyo jijini Dar es Salaam 
Mmoja wa waendesha mikadala wakati wa semina ya wahariri wa habari za biashara na uchumi, Arden Kitomari mmiliki wa blogu ya kitomari banking & finance blog, akiweka mambo sawa wakati wa semina hiyo.  

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...