Kituo
cha radio cha E FM 93.7 leo kimezindua kipindi kipya kabisa cha Sports
Headquarter (Makao Makuu ya habari) kikiwa cha kwanza katika historia
kuruka kwa masaa matatu kuzungumzia michezo tena asubuhi saa tatu mpaka
saa sita mchana.
Pichani juu ni Watangazaji nguli wa Michezo nchini Maulid Baraka Kitenge na Ibrahim Masoud Maestro wakikiendesha kipindi hicho cha masaa matatu leo.
Kitakuwa kinaruka Jumatatu mpaka Ijumaa saa tatu Asubuhi mpaka saa sita mchana. Hii no katika historia kabisa katika radio za Tanzania kipindi cha michezo kuwa cha masaa matatu tena kuanzia asubuhi mpaka mchana.
Kitakuwa kinaruka Jumatatu mpaka Ijumaa saa tatu Asubuhi mpaka saa sita mchana. Hii no katika historia kabisa katika radio za Tanzania kipindi cha michezo kuwa cha masaa matatu tena kuanzia asubuhi mpaka mchana.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...