Na Bashir Yakub
Wapo  watu ambao  baada  ya  kupata  cheo au  nafasi  ya  kuwa wasimamizi wa mirathi  hugeuka  waungu.  Huwa hawaambiwi  wala  hawasikii  la  mtu. Huwezi kuamini  kuwa  kuna baadhi ya wasimamizi wa  mirathi  wamekataa  kugawa  mali  za marehemu  sasa ni zaidi ya miaka   kumi. Na si kwamba wamefanya  hivyo  kwa maslahi mapana  ya familia, hapana. Wamefanya  hivyo kwa ukorofi  lakini kubwa zaidi  wanafanya  hivyo  ili waendelee  kunufaika na  mali za marehemu  peke  yao. Mambo hayo  yameleta  sana  faraka  kwenye familia.

Warithi  na  wote  wenye haki katika  mali  za marehemu wengi wao huchukizwa  na  matendo  haya  yumkini wapo  ambao  hujua  la kufanya  na wapo ambao  hubaki  njia  panda wasijue la  kufanya.  Mali zinaliwa  lakini   warithi  wafanye nini, hawaoni njia.  Katika makala haya  nini  mfanye iwapo hamridhishwi au hamumtaki kabisa msimamizi wenu  wa mirathi ni kati  ya mambo  yatakayoguswa.
Kusoma zaidi BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...