Kamati ikiongozwa na Mwenyekiti wake Mhe. James Lembeli, imefanikiwa kuitembelea Manispaa ya Dubai na Mji wa Michezo wa Dubai (Dubai Sports City). 
 Aidha, Mhe. William Lukuvi, Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi aliongozana na Kamati. 
Ziara hii fupi imekuwa ya mafanikio makubwa, kwani kamati pamoja wajumbe wengine wamekubaliana masuala muhimu ambayo wameona yanafaa kuishairi Serikali kuyafanyia kazi ili kuwa na Mipango Miji ya kisasa. 
 Mhe. Omar Mjenga, Balozi Mdogo wa Tanzania, Dubai aliongozana na ujumbe huu wa Kamati wakati wote wa ziara.
Mhe. Omar Mjenga, Balozi Mdogo wa Tanzania, Dubai, (wa pili kushoto) akiwa  na ujumbe huu wa Kamati hiyo
Mhe. Omar Mjenga, Balozi Mdogo wa Tanzania, Dubai (kushoto) akiwa na Mhe. William Lukuvi, Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi na Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Ardhi na Maendeleo ya Makazi Mhe. James Lembeli (katikati)
Mhe. Omar Mjenga, Balozi Mdogo wa Tanzania, Dubai (kushoto) akiwa na Mhe. William Lukuvi, Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi na mjumbe wa kamati Mhe Esther Bulaya
Mhe. Omar Mjenga, Balozi Mdogo wa Tanzania, Dubai (kushoto) akiwa na  Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Ardhi na Maendeleo ya Makazi Mhe. James Lembeli

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...