Baadhi ya Wanasheria ,Mahakimu na watumishi wa Mahakama wakiwa katika maandamano hayo yaliyopita katika maeneo mbalimbali ya mji wa Moshi. |
Jaji Mfawidhi wa Mahakama kuu kanda ya Moshi Mhe. Alishaeli Sumari akiongoza wageni wengine kuelekea katika viunga vya mahakama kuu kanda ya Moshi kwa ajili ya kukagua gwaride la heshima. |
Askari wakiwa timamu kwa ajili ya gwaride la heshima mbele ya jaji Mfawidhi wa Mahakama kuu kanda ya Moshi ,Alishaeli Sumari.(hayuko pichani) |
Jaji Mfawidhi wa Mahakama kuu kanda ya Moshi Mhe. Alishaeli Sumari akipokea salamu za heshima toka kwa askari Polisi wakati wa gwaride maalumu lililoandaliwa kwa ajili ya Maadhimisho ya siku ya sheria. Picha zaidi BOFYA HAPA |
Duh ! akina ras makunja na magitaa yao mabegani walikuapo si mchezo bongo tambarare
ReplyDelete