MZEE RAPHAEL LEKAIKO TINGO
30 – 12- 1919 - 26 – 02 – 2007 

 Leo umetimiza miaka minane (8) tangu ulipoitwa mbinguni kwa Baba, baada ya kuugua kwa muda mfupi. Tunakukumbuka  kwa mengi sana hasa Upendo na Uchapakazi wako uliokuwa nao.

Baba, tupo kama ulivyotuacha – Imani yetu ni  kuwa ipo siku, wote tutakutana  tena Paradiso.

Unakumbukwa sana na mimi Mkweo JANE, Mume wangu OTTO na Familia yake Mkeo Mpendwa ROSALIA, wanao PANTALEO, FERDINAND, ESTOMII, MODEST, ERNEST NA ROSE, Wakwezo wote, Wajomba,Mashemeji, Wajukuu,Ndugu, Jamaa na Marafiki na wote wa Ukoo wa TINGO popote pale walipo Misa ya Kumuombea itafanyika Mkolani – Mwanza

KARIBU WOTE

“RAHA YA MILELE UMPE Eee BWANA…………………..”

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...