MZEE RAPHAEL LEKAIKO TINGO
30 – 12- 1919 - 26 – 02 – 2007
Leo umetimiza miaka minane (8) tangu ulipoitwa mbinguni kwa Baba, baada ya kuugua kwa muda mfupi. Tunakukumbuka kwa mengi sana hasa Upendo na Uchapakazi wako uliokuwa nao.
Baba, tupo kama ulivyotuacha – Imani yetu ni kuwa ipo siku, wote tutakutana tena Paradiso.
Unakumbukwa sana na mimi Mkweo JANE, Mume wangu OTTO na Familia yake Mkeo Mpendwa ROSALIA, wanao PANTALEO, FERDINAND, ESTOMII, MODEST, ERNEST NA ROSE, Wakwezo wote, Wajomba,Mashemeji, Wajukuu,Ndugu, Jamaa na Marafiki na wote wa Ukoo wa TINGO popote pale walipo Misa ya Kumuombea itafanyika Mkolani – Mwanza
KARIBU WOTE
“RAHA YA MILELE UMPE Eee BWANA…………………..”
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...