Naibu Waziri wa Maji, Amos Makalla akizindua rasmi mradi wa maji wa kijiji cha Simbay, Wilaya ya Hanang, mkoani Manyara katika ziara yake aliyoanza mkoa wa Manyara jana, akiwa pamoja na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Mahusiano na Uratibu na Mbunge wa Hanang, Dk. Mary Nagu na Mkuu wa Wilaya ya Hanang, Christina Mndeme.
Naibu Waziri wa Maji, Amos Makalla, Mkuu wa Wilaya ya Hanang, Christina Mndeme na Inj. Salum Chusi wa Wizara ya Maji (nyuma) wakiangalia pampu ya maji ya mradi wa Simbay katika ziara yake ya kukagua utekelezaji na uzinduzi wa miradi ya maji mkoani Manyara jana.
Naibu Waziri wa Maji, Amos Makalla akiwa kwenye tanki la maji la mradi wa maji wa Simbay, wilaya ya Hanang mkoani Manyara.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...