Miss Universe Tanzania 2014-2015 Nale Boniface akikata  keki na wanafunzi wenye matatizo ya Ngozi (ALBINO) wakati alipotembelea kituo cha kulelea watoto wenye mahitaji cha  Salvation Army jijini Dar es Salaam ikiwa ni madhimisho ya  siku yake ya kuzaliwa ambapo aliamua kuwapelekea zawadi  watoto hao.
 Miss Universe Tanzania 2014-2015 Nale Boniface akiwalisha  Keki na wanafunzi wenye matatizo ya Ngozi (ALBINO) wakati  alipotembelea kituo cha kulelea watoto wenye mahitaji cha  Salvation Army jijini Dar es Salaam ikiwa ni madhimisho ya  siku yake ya kuzaliwa ambapo aliamua kuwapelekea zawadi  watoto hao.

 Miss Universe Tanzania 2014-2015 Nale Boniface akitoa zawadi kwa mmoja wa  wanafunzi wenye matatizo ya Ngozi (ALBINO) wakati alipotembelea kituo cha kulelea watoto wenye mahitaji cha  Salvation Army jijini Dar es Salaam ikiwa ni madhimisho ya  siku yake ya kuzaliwa
 Sehemu ya wanafunzi wenye matatizo ya Ngozi (ALBINO) katika  kituo cha kulelea watoto wenye mahitaji cha  Salvation Army jijini Dar es Salaam
Miss Universe Tanzania 2014-2015 Nale Boniface akigawa  madaftari kwa wanafunzi wenye mahitaji wakati alipotembelea  kituo cha kulelea watoto wenye mahitaji cha Salvation Army  jijini Dar es Salaam ikiwa ni madhimisho ya siku yake ya  kuzaliwa ambapo aliamua kuwapelekea zawadi watoto hao.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...