Balozi wa promosheni ya Jaymillions inayoendeshwa na Vodacom Tanzania Hillary Daud ‘Zembwela’na Claudia Mapunda(kulia)ambaye aliibuka mshindi wa kitita cha shilingi milioni 1/-kupitia promosheni hiyo wakihesabu fesha hizo kabla ya Balozi huyo kumkabidhi rasmi kitita chake katika hafla iliyofanyika Mlimani City jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.Ili mteja kujua kama ameshinda anatakiwa kutuma neno JAY au AUTO kwenda namba 15544.
Balozi wa promosheni ya Jaymillions inayoendeshwa na Vodacom Tanzania Hillary Daud ‘Zembwela’akimkabidhi kitita cha shilingi Milioni 1/-mshindi kupitia promosheni hiyo Claudia Mapunda(kulia) katika hafla fupi iliyofanyika Mlimani City jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.Ili mteja kujua kama ameshinda anatakiwa kutuma neno JAY au AUTO kwenda namba 15544.
Balozi wa promosheni ya Jaymillions inayoendeshwa na Vodacom Tanzania Hillary Daud ‘Zembwela’akisalimiana na wateja wa Vodacom Tanzania walifika kupata huduma mbalimbali katika duka la kampuni hiyo lililopo Mlimani City jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kumkabidhi kitita cha shilingi milioni 1 mmoja wa washindi wa Promosheni hiyo Claudia Mapunda(hayupo pichani).
Mshindi wa kitita cha shilingi Milioni 1/= kupitia promosheni ya Jaymillions inayoendeshwa na Vodacom Tanzania Bi.Claudia Mapunda(kulia) akifurahia kwa kuonesha kitita chake cha fedha alizoshinda baada ya kukabidhiwa na Balozi wa promosheni hiyo Hillary Daud ‘Zembwela’(kusho) anaeshuhudia katikati ni mpambe wa Balozi huyo Maria John.Hafla hiyo ya makabidhiano ilifanyika Mlimani City jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Please tell the girl with glass on her hand to put it down,. It looks bad.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...