Mwanasheria Mkuu wa Serikali Ndugu George Masaju akisisitiza jambo mbele ya wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari. Mkutano wa Mwanasheria Mkuu wa Serikali na Wahariri wa vyombo vya habari ulikuwa na lengo la kuwapa fursa pana wahariri kuuliza maswali mbalimbali kuhusu ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali.
Mwanasheria Mkuu wa Serikali George Masaju akibadilishana mawazo na Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Absalom Kibanda(katikati) na Mhariri wa gazeti la Jamhuri Manyerere Jackton.
Mwanasheria Mkuu wa Serikali Ndugu George Masaju akifurahia jambo na viongozi wa Jukwaa la Wahariri. Neville Meena(katikati) ni Katibu na Absalom Kibanda ni Mwenyekiti. (Picha na Abuu M. Kimario)
Mwanasheria Mkuu wa Serikali Ndugu George Masaju(tai nyekundu) akisikiliza maelezo kutoka kwa Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu n Utawala Bora Bw. Bahame Tom Mukiria Nyanduga wakati alipofanya ziara fupi kwenye ofisi hiyo leo jijini Dar-es- salaam. Wengine kwenye picha ni Makamishna wa tume hiyo na Katibu Mtendaji Bi. Mary Massay(kwanza kulia)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...