MH. Ridhiwani Kikwete akiongea kwenye sherehe ya kuzaliwa kwa chama cha mapinduzi CCM sherehe zilizofanyika New York na kudhuliwa na wageni mbalimbali kutoka kila sehemu yenye tawi la CCM hapa Marekani.
Mwenyekiti wa tawi la CCM New York akiongea kwenye sherehe hizo
Bwana Isaac Kibodya akiongea kwa niaba ya katibu mwenezi wa tawi la CCM New York
Hapa ni Joyce akiongea wasifu wa Mh.Ridhiwani Kikwete historia yake kwa ufupi
Mh.Ridhiwani akiwa kwenye meza pamoja na mabalozi wa umoja wamataifa, viongiozi wa tawi na Jumuhia ya Watanzania New York.
Kwa picha zaidi kujionea mambo yalivyo kuwa yamenogo BOFYA HAPA
Mikundu yenu,u fucking running politics in a foreign country,fuck go back to tz and practice that nonsense
ReplyDelete