MH. Ridhiwani Kikwete akiongea kwenye sherehe ya kuzaliwa kwa chama cha mapinduzi CCM sherehe zilizofanyika New York na kudhuliwa na wageni mbalimbali kutoka kila sehemu yenye tawi la CCM hapa Marekani.
 Mwenyekiti wa tawi la CCM New York akiongea kwenye sherehe hizo
 Bwana Isaac Kibodya akiongea kwa niaba ya katibu mwenezi wa tawi la CCM New York

Hapa ni Joyce akiongea wasifu wa Mh.Ridhiwani Kikwete historia yake kwa ufupi
Mh.Ridhiwani akiwa kwenye meza pamoja  na mabalozi wa umoja wamataifa, viongiozi wa tawi na Jumuhia ya Watanzania New York.
Kwa picha zaidi kujionea mambo yalivyo kuwa yamenogo BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Mikundu yenu,u fucking running politics in a foreign country,fuck go back to tz and practice that nonsense

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...