Ujumbe wa Tanzania katika mkutano wa mabadiliko ya Tabia nchi mjini Geneva pamoja na Balozi wa Tanzania anaetuwakilisha nchini Uswiss na Vienna. Mh Modest Mero (kati mbele). Wengine mbele kushoto mkurugenzi msaidizi ofisi ya makamu wa raisi mazingira bw. Richard Muyungi,kulia Afisa mazingira mandamizi kutoka ofis ya Makamu wa Rais Bw. Fred manyika,nyuma kulia ni injia Ladslaus Kyaruzi kutoka ofisi ya Makamu wa Rais,kushoto ni Bi Emelda Teikwa afisa mazingira kutoka ofisi ya Makamu wa Rais. Picha na Everlyn Mkokoi
Home
Unlabelled
Ujumbe wa Tanzania katika mkutano wa mabadiliko ya Tabia nchi mjini Geneva
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
mbona huu uwakilishi ni wa upande mmoja tu jamani hii inakuwaje, mwakilishi kutoka zanzibar yuko wapi
ReplyDelete