Ujumbe wa Tanzania katika mkutano wa mabadiliko ya Tabia nchi mjini Geneva pamoja na Balozi wa Tanzania anaetuwakilisha nchini Uswiss na Vienna. Mh Modest Mero (kati mbele). Wengine mbele kushoto mkurugenzi msaidizi ofisi ya makamu wa raisi mazingira bw. Richard Muyungi,kulia Afisa mazingira mandamizi kutoka ofis ya Makamu wa Rais Bw. Fred manyika,nyuma kulia ni injia Ladslaus Kyaruzi kutoka ofisi ya Makamu wa Rais,kushoto ni Bi Emelda Teikwa afisa mazingira kutoka ofisi ya Makamu wa Rais. Picha na Everlyn Mkokoi

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. mbona huu uwakilishi ni wa upande mmoja tu jamani hii inakuwaje, mwakilishi kutoka zanzibar yuko wapi

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...