Balozi wa kinjwaji cha Baileys katika Usiku wa Warembo ndani ya Kiota cha Samaki Samaki,Vanessa (mwenye nguo nyeusi) akiwa katika picha ya pamoja na warembo katika kiota cha Samaki Samaki mtaa wa Samora Jijini Dar es Salaam,ikiwa ni muendelezo wa kuwaleta pamoja warembo wote hapa mjini.
Wateja waliofika katika kiota cha Samaki samaki katika siku ya warembo wakiwa wanawaangalia warembo hawapo pichani.
Balozi wa Baileys,Rahma Zumba (wa tatu kulia) akiwahudumia wateja waliofika katika kiota cha Samaki Samaki Mtaa wa Samora Jijini Dar es Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...