Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. This makes me hate my team yanga

    ReplyDelete
  2. Nawapongeza sana na hongereni sana wanachipukizi wote mlioshiriki katika gwaride hilo la kusherehekea miaka 38 tangu kuzaliwa kwa Chama Cha Mapinduzi (05/02/1977 Uwanja wa Amani Zanzibar). Sio siri nimependa hao watoto wadogo javusa walivyokuwa dedicated kukaza miguu na kuonyesha ukakamavu katika kupiga kwata, reminded me decades back wakati huo tukila kiapo viongozi wetu by the time tukiwataja...Nyerere na Aboud Jumbe...mara kwa mara Mungu nisaidie. Kweli siku hazigandi. Hongera Chama Cha Mapinduzi na Mungu kipe baraka.

    ReplyDelete
  3. DAIMA MBELE.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...