Baadhi
ya washindi wa program ya Ndovu Golden Experience iliyokuwa ikiendeshwa
na TBL kupitia bia yake ya Ndovu wakirejea jijini Dar es Salaam mara
baada ya kuzulu katika hifadhi ya Selous kwa siku mbili mwishoni mwa
wiki.
Baadhi
ya washindi wa program ya Ndovu Golden Experience iliyokuwa
ikiendeshwa na TBL kupitia bia yake ya Ndovu wakiwa katika picha ya
pamoja na Meneja wa Kampi ya Lake Manze(katikati) walipokwenda kujionea
vivutio mbalimbali katika mbuga hiyo mwishoni mwa wiki.
Meneja
wa Kambi ya Lake Manze akiwaelekeza jambo washindi wa wa program ya
Ndovu Golden Experience iliyokuwa ikiendeshwa na TBL kupitia bia yake
ya Ndovu walipokwenda kujionea vivutio mbalimbali katika mbuga hiyo
mwishoni mwa wiki.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...