Waziri Membe akiwahutubia mamia ya Waumini wa Kanisa la Sabatoikiwa ni siku ya kilele cha Kongamano la Kimataifa la Utume kwa Makanisa ya Sabato. Wengine katika picha waliokaa ni Rais wa Kanisa hilo duniani, Askofu Wilson na Mkewe pamoja na Mhe. Wasira wakimsikiliza mmoja wa Viongozi akitafsiri kwao baadhi ya maneno ya Kiswahili yaliyokuwa kwenye hotuba ya Mhe. Membe. BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI |
Home
Unlabelled
WAZIRI MEMBE ATOA RAI KWA MADHEHEBU KUOMBEA UADILIFU KWA VIONGOZI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Ina maanisha utetezi wa viongozi kutokuwa waadilifu ni kwa sababu hawajaombewa?
ReplyDelete