Mwenyekiti wa Boko Beach Veterans (BBV),Danny Ole a.k.a Aguero (kushoto) akimkabidhi zawadi Mchezaji bora wa Mwezi,Richard Mwandya,baada ya kuonyesha kiwango kizuri kwa kipindi chote cha mwezi Februari 2015.Zawadi hutolewa na mdau mkubwa wa soka nchini na mmiliki wa maduka ya Zizzou Fashion, Othman Tippo Shabani (picha ya chini mwenye jezi nyeupe kati).
Home
Unlabelled
Boko Beach Veterans wamkabidhi zawadi Mchezaji bora wa Mwezi
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Rich Mwanda tuwasiliane ste.mfuko@yahoo.com
ReplyDelete