Kikosi cha Timu ya Benki ya Exim Tawi la Babati katika picha ya pamoja
kabla ya mchezo wa kirafiki kuanza kati ya timu hiyo ya Benki na timu ya
Babati Citizens FC wakati wa Bonanza la michezo lililofanyika mwishoni
mwa wiki Babati. Bonanza hilo liliandaliwa na ofisi ya mkuu wa mkoa
mkoani Manyara lilikiwa na lengo la kukuza michezo mkoani hapo.
Home
Unlabelled
exim bank (Tawi la Babati) yashiriki bonanza la michezo Babati
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...