Mbunge wa jimbo la Ludewa Deo Filikunjombe wa pili kushoto na viongozi wa Halmashauri wakikabidhiana daraja la mto Kitewaka kwa ajili ya kujengwa kisasa baada ya serikali kukabidhi fedha za ujenzi huo Tsh miloni 240
Mbunge Filikunjombe akilitazama daraja la mbao la mto Kitewaka ambalo litajengwa kisasa.
Viongozi wa kanisa la Anglikana na wa CCM Ludewa wakiongozana na mbunge Filikunjombe mwenye kofia.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...