Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. loh za kusikia changanya na zako.

    ReplyDelete
  2. Wanasiasa wengi hujiita wapinzani na kuvikandia vyama tawala ili wavutie tu uungwaji mkono, lakini unapochimba zaidi mara unagundua kuwa na wao tabia na siofa zao ni zile zile.
    Nashangaa bwana Kabwe imemchukua muda mrefu kuwa nje ya Chadema.
    Nimesikitika zaidi amesubiri kufukuzwa uanachama ndipo akahamia kwengine.
    Mimi mbona siku nyingi tu niliiona midudu ya viongozi wakuu wa chama hicho?
    Angalia kashfa ya wabunge wa kuteuliwa kutoka Chadema.
    Angalia matumizi mabaya ya fedha za umma, helikopta kila mahali!
    Ukabila, udini, nk.
    Siasa kweli ni uwanja mchafu!
    Mndengereko, Ukerewe

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...