Hata
hivyo Kinana amesema wananchi wa Karatu ni Watanzania na wana haki ya
kupata huduma mbalimbali za maendeleo na serikali ya CCM haitawaacha
kama wanavyoachwa na viongozi wao wa CHADEMA waliowachagua wenyewe.
Kinana akiwa ameambatana na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye wako kwenye ziara ya siku tisa ya kikazi mkoani
Arusha wakihimiza na kukagua utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM ikiwemo na kusikiliza matatizo ya Wananchi na kuyapatia ufumbuzi,hata hivyo katika wilaya ya Karatu imeonekana kukwamishwa na
Mbunge wa jimbo hilo Mchungaji Israel Natse
Chadema, Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo na madiwani kwa kuitenga baadhi
ya miradi ambayo ipo katika vijiji ambavyo madiwani na wenyeviti wa vijiji wanatoka Chama cha Mapinduzi CCM ambapo wananchi wa kijiji hicho wamemlalamikia Kinana.
Baadhi ya wafuasi wa chama cha CCM wakishangilia jambo uwanjani hapo.
Katibu
wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akiwahutubia wananchi wa Karatu
waliojitokeza kwa wingi katika mkutano huo wa hadhara
Baadhi
ya wananchi wakifuatilia kwa makini yaliyokuwa yakizungumzwa na Katibu
Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana kwenye mkutano huo wa hadhara.
Wananchi
wa kijiji cha Baray-Mbuga Nyekundu wakimshangilia Katibu wa NEC Itikadi
na uenezi,Nape Nnauye alipozungumza kabla ya Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu
Kinana kushiriki ujenzi wa jengo la kituo cha upasuaji afya .
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwahutubia wananchi wa kata ya Baray.
PICHA NA MICHUZI JR-KARATU.
PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
PICHA NA MICHUZI JR-KARATU.
PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
wapinzani hawana chao mwaka huu
ReplyDelete