Meneja Masoko wa Mfuko wa Pensheni wa GEPF.Bw.  Aloyce Ntukamazina akiwasilisha mada juu ya mabadiliko ya mfumo wa uendeshaji katika Mfuko wa GEPF,wakati wa semina kwa Maafisa Rasilimali Watu kutoka Wilaya ya Ilala iliyofanyika kwenye hoteli ya Peacock,jijini Dar es salaam.
 Meneja wa GEPF mkoa wa Ilala,Bw Jafari Meraji akisisitiza jambo juu ya faida zipatikanazo katika mpango wa hiari wa kujiwekea akiba (VSRS)
Mmoja wa washiriki wa semina hiyo Bw Sebastian Enosh ambaye ni Meneja Rasilimali watu kutoka DIT akitoa mchango wake pamoja na ushauri kwa Mfuko wa GEPF.
Pichani baadhi ya washiriki wa semina hiyo maalum wakifuatilia kwa makini mada zilizokuwa zikitolewa na maafisa wa GEPF.
Maafisa Rasilimali watu wakipata maelekezo ya kujaza fomu na kujiunga na mpango wa hiari wa kujiwekea akiba kutoka kwa Afisa Masoko wa GEPF Bw Avit Nyambele.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...