Mnadhimu wa Jeshi la Polisi Jijini Arusha, Boniventure Mshongi (kushoto) akimkabidhi kikombe Mchoma nyama wa Bar ya Milestone Park, Lawrence Kimonge mara baada ya kuibuka mabingwa katika mashindano ya Safari Nyama Choma yaliyofanyika katika Uwanja wa Nanenane mwishoni mwa wiki jijini Arusha .Katikati ni Meneja wa bia ya Safari Lger, Edith Bebwa.
Mashabiki wa Bar ya Milestone Park ya jijini Arusha wakiwa wamembeba juu mchoma nyama wa bar hiyo mara baada ya kutangazwa bingwa katika mashindano ya Safari Lager Nyama Choma mkoani humo yaliyofanyika katika Uwanja wa Nane nane mwishoni mwa wiki

Na Mwandishi Wetu.Arusha.

MILESTONE PARK Bar jijini Ausha wameibuka mabingwa katika fainali za mashindano ya Safari Lager Nyama Choma 2015 yaliyofanyiaka mswishoni mwa wiki katika Nanenane na hivyo kuzawadiwa fedha taslimu Shilingi milioni moja na Kikombe.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...