Huu ni moja kati ya Minara ya awali kabisa hapa jijini Dar es salaam.Mwenye kujua zaidi juu ya hisroria ya mnara huu atumwagie vitu hapa.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. Nikipita hapo huwa nasema kuna minara ya kisasa zaidi sijui lini nao utaboreshwa au kubadilishwa. Kulikuwa na jengo moja pia hapo karibu mabati yamechoka hii ni sura ya jiji inaweza kuboreshwa zaidi.

    ReplyDelete

  2. Mnara huu ulijengwa katika mitaa ya stasheni ya reli/Uhuru/Indis na Independence avenue wakatihuo (majina ya mitaa sasa imebadilika).Mnara ulijengwa kuonyesha sehemu ambayo inaanzia mwinuko toka usawa wa bahari kwa mji wa Dar Es salaam mnamo December 1960.
    Kila mkoa hapa Tanzania (Tanganyika)kuna eneo la kuanzia Kilometa au mwinuko toka usawa wa bahari.Hizi ni sehemu muhimu kwa historia na alama kwa wasafiri.

    ReplyDelete
  3. TWILA KAMBANGWAMarch 18, 2015

    ukisema mnara wa saa, Dsm ilikuwa na watu Elfu 10,000 kila kitu kinatosha, kuanzia maji umeme, barabara,magari mpaka sehemu za starehe, mdau kutoka GERMANY mzaliwa wa dar njia panda ulaya

    ReplyDelete
  4. Mnara huu ulijengwa na wakazi wa Dar es Salaam baada ya kupata heshima ya kuwa jiji na pia katika mnara huu ndio zero diastance ya kwenda mikoani ikimaanisha unaanza kuhaesabu umabli kuanzia hapa

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...