Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Congenital megacolon au Hirschsprung's disease (HD)ndio aina ya tatizo linalomsumbua kwa jinsi nilivyopata kuyaelewa maelezo ya mama juu ya historia ya tatizo.....ni kweli tatizo husababishwa na kutofanya kazi kwa seli zinazoendesha utumbo mpana tatizo linaweza likawa kwa segment ya utumbo mpana au utumbo wote. Hili tatizo uanza siku za mwanzo za uhai yaani kukua kwa mtoto akiwa bado yu tumboni mwa mama. Matibabu yake hujumuisha kutoboa tumbo ili haja itokee kwa nje kama video inavyoonekana haya ni matibabu ya mwanzo wakati unasubiri, pia kukata sehemu iliyo na tatizo na kuunga upande ulio hai.Inategemea aina ya ukubwa wa tatizo ila nakumbuka KCMC zilikua zikifanyika hizi operation wakati nipo bongo.

    ReplyDelete
  2. Daah! pole sana mtanzania mwenzetu. Ina uma sana yaani kila niiona hii video haapa nasisimka tu.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...