Familia ya Mr Robert Makilagi ya Pugu Kajiungeni inasikitika kutangaza kifo cha baba yao mpendwa Robert John Ndege Makilagi kilichotokea usiku wa kuamkia tarehe 11/3/2015 katika hospital ya Hindu Mandal, Dar es salaam.

Habari ziwafikie ndugu, jamaa na marafiki wote popote pale walipo.

Marehemu Mzee Makilagi ataagwa nyumbani kweke pugu kajiungenikesho Jumamosi  asubuhi tarehe 14/3/2015 ikifuatiwa na ibada itakayoanza saa 8 mchana katika kanisa katoliki la Pugu lililopo Pugu Sekondari.

Baada ya kumalizika Ibada, Marehemu atazikwa saa tisa (9) katika makaburi ya Wakatoliki Pugu.

Bwana ametoa, na Bwana ametwaa.
 Jina la Bwana lihimidiwe.
AMINA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. R.I.P. Mzee Makilagi.Pia nawapa pole familia nzima ya Makilagi,John,Marystella,BONI na Bertha, M.MUNGU Awape Subra,AMIN.

    ReplyDelete
  2. May Allah Rest Your Soul In Peace. As from him we came, To him we shall return, to him we belong. My thoughts and prayers goes out to his family. Again Rest In Peace. You will be remembered. Your Ex- EAA/ATC colieg.

    ReplyDelete
  3. Huyu ni baba ake floxi

    ReplyDelete
  4. AAAAAAAAAAA JAMANI POLENI SANA NAMKUMBUKA SANA MZEE WA CARGO - GULF AIR,MUNGU AMLAZE MAHALI PEMA NA MWANGA WA MILELE UMWANGAZIE

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...