Jiunge na Dj Luke Joe na Mubelwa Bandio katika kipindi cha MISHUMAA YA KALE.
Kipindi kinachotusikiliza nyimbo nyingi za miaka iliyopita na habari juu yazo Jiunge nasi 5:00pm EST kupitia www.kwanzaproduction.com ama www.vijimamboradio.com ama bordermediagroup.com.
Kama una TuneIn app, ingia http://tun.in/sfdl0
Kwa mlio Marekani na Canada, tusikilize kwa kupiga simu 716 748 0086

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Dj Luke na Mbelwa Bandio naona kupitia : http://tun.in/sfdlo sauti ni bora zaidi huku Europa ya Kaskazini kuliko linki za Kwanzaprodtn ama vijimamboaradio ambazo kuna interference of ''outside hissing sounds''.

    Shukrani kwa kutupatia burudani mchanganyiko.

    Mdau
    Diaspora
    Northern Europe

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...