NA.
MUDA
TUKIO
MHUSIKA

1.
12:00 - 01:00

Familia na Waombolezaji kupata chai nyumbani

Kaimu Katibu wa Bunge
2.
01:00 - 04:00
Misa ya kuaga mwili wa Marehemu

Kanisa Katoliki,
Parokia ya Bikira Maria Mpalizwa

3.
04:00 - 04:30
·         Ndugu, Jamaa na Wananchi kuwasili katika Viwanja vya Karimjee

·         Viongozi wa Vyama vya Siasa, Waheshimiwa Wabunge, Manaibu Waziri, Mawaziri kuwasili na kuketi katika nafasi zao

Katibu wa Bunge

4.
04:33
Kiongozi wa Upinzani Bungeni  kuwasili

Kaimu Katibu wa Bunge
5.
04:36
Mhe. Naibu Spika kuwasili

Kaimu Katibu wa Bunge
6.
04:39
Mhe. Spika kuwasili

Mhe. Naibu Spika
7.
04:42
Mhe. Waziri Mkuu kuwasili

Mhe. Spika
8.
04:50
Mhe. Makamu wa Rais kuwasili
Mhe. Spika

9.
05:00
Mhe. Rais kuwasili

Mhe. Spika
10.
05:00
Mwili wa Marehemu kuwasili  kwa gwaride maalum la Sergeant-At-Arms

Katibu wa Bunge
11.
05:00 - 05:15
Sala fupi
Kanisa Katoliki,
Parokia ya Bikira Maria Mpalizwa
12.
05:15 - 05:20
Wasifu wa Marehemu

Kaimu Katibu wa Bunge
13.
05:20 - 05:30
Salamu na Rambirambi za Chama cha Mapinduzi (CCM)

Katibu Mkuu, CCM
14.
05:30 - 05:35
Salamu na Rambirambi kutoka kwa Kiongozi wa Upinzani Bungeni

Kiongozi wa Upinzani Bungeni
15.
05:35 - 05:45
Salamu na Rambirambi za Serikali

Waziri Mkuu
16.
05:45 - 05:55
Salamu na Rambirambi za Uongozi wa Bunge

Mhe. Spika
17.
05:55 - 06:00
Neno la Shukrani toka kwa familia

Mwakilishi wa Familia
18.
06:00 - 06:15
Utaratibu wa safari

Kaimu Katibu wa Bunge
19.
06:15 - 07:15
Kuaga Mwili wa Marehemu kulingana na Itifaki

MC
20.
07:15
Mwili wa Marehemu kuondoka uwanjani kuelekea Uwanja wa Ndege

MC
21.
07:20 - 07:25
Viongozi wa Kitaifa kuondoka kulingana na Itifaki

MC
22.
07:40
Mwili wa Marehemu kuwasili Uwanja wa Ndege

Kaimu Katibu wa Bunge
23.
08:00
Mwili, Familia na Waombolezaji kuondoka kuelekea Songea

Kaimu Katibu wa Bunge
24.
10:00
Mwili wa Marehemu kuwasili Uwanja wa Ndge Songea na kupokelewa na Mkuu wa Mkoa

Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
25.
10:00 - 10:15
Mwili wa Marehemu kuelekea Uwanja wa Majimaji

Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
26.
10:15 - 11:00
Mkuu wa Mkoa kuongoza wakazi wa Ruvuma kuaga mwili wa Marehemu

Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
27.
11:00 - 01:00
Mwili wa Marehemu kuondoka Uwanja wa Majimaji kuelekea Lituhi, Nyasa

·         Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

·         Kaimu Katibu wa Bunge
28.
01:00
Mwili kuwasili nyumbani na taratibu za kifamilia kuendelea

MC

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...