Mkuu
wa Wilaya ya Mkuranga, mkoani Pwani, Luteni Mstaafu Abdallah Kihato (wa
pili kulia), akipokea Hundi ya Sh. Milioni 56 kutoka kwa Meneja Mauzo
wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) Kanda ya Kusini, Bw. Victor Kavishe (wa
pili kushoto) kwa ajili ya kusaidia mradi wa maji katika Kijiji cha
Magoza, kilichoko Kata ya Kiparang'anda. Kushoto ni Meneja Mahusiano wa
TBL, Bi. Emma Urio na Diwani wa Kata hiyo, Bi. KAru Karapina.
Meneja Mauzo wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Kanda ya Kusini, Bw. Victor Kavishe (wa pili kushoto, akimkabidhi Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga, mkoani Pwani, Luteni Mstaafu Abdallah Kihato, Hundi ya Sh. Milioni 56 zilizotolewa na Kampuni hiyo kwa ajili ya kusaidia mradi wa Maji katika Kijiji cha Magoza, kilichoko Kata ya Kiparang'anda. Kushoto ni Mkuu wa Mahusiano TBL, Bi. Emma Urio na Diwani wa Kata hiyo, Bi. Karu Karavina. (Na Mpigapicha Wetu)
Akionesha Hundi aliyopewa na TBL
Diwani
wa Kata ya Kiparang'anda, iliyoko Mkuranga, mkoani Pwani, Bi. Karu
Karavina akiishuikuru Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), baada kampuni hiyo
kutoa Hundi ya Sh. Milioni 56 za mradi wa maji katika kijiji cha
Magoza.. Walioketi kutoka kulia ni Mkuu wa Wilaya hiyo, Luteni Mstaafu
Abdallah Kihato na Meneja Uhusiano TBL, Emma Urio.
PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
Meneja Mauzo wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Kanda ya Kusini, Bw. Victor Kavishe (wa pili kushoto, akimkabidhi Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga, mkoani Pwani, Luteni Mstaafu Abdallah Kihato, Hundi ya Sh. Milioni 56 zilizotolewa na Kampuni hiyo kwa ajili ya kusaidia mradi wa Maji katika Kijiji cha Magoza, kilichoko Kata ya Kiparang'anda. Kushoto ni Mkuu wa Mahusiano TBL, Bi. Emma Urio na Diwani wa Kata hiyo, Bi. Karu Karavina. (Na Mpigapicha Wetu)
Akionesha Hundi aliyopewa na TBL
PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...