Msajili wa Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu(AfCHPR)Dk Eno Robert akizungumza kabla ya kutangaza matokeo ya mashindano ya uendeshaji wa Mahakama kwa wanafunzi wa Vyuo(Moot Court)yaliyofanyika katika Mahakama hiyo jijini Arusha.
 Wanafunzi wa Sheria katika Chuo Kikuu cha Dar es Saalam(Udsm)kutoka kushoto,Emmanuel Bakilana,Jacob Muheesi,Alicia Atukunda na Adela Msofe wakiwa hawaamini ushindi wao dhidi ya Chuo Kikuu cha Saint Augustine(Saut)Mwanza.
Wanafunzi wa Chuo cha Udsm wakipongezana na Sauti baada ya kutangazwa matokeo ambayo yanawawezesha wanafunzi wa Udsm kuiwakilisha nchi kwenye mashindano ya kimataifa Washington,Marekani.
 Msajili wa Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu(AfCHPR)Dk Eno Robert(katikati)akiwa katika picha ya pamoja na waandaji wa mashindano hayo pamoja na washiriki. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...