Baadhi ya mameneja wa matawi ya Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) wakijitolea kuosha magari ili kuchangisha fedha kwa ajili ya kusaidia watu wenye ulemavu wa ngoz (albino) na kusaidia juhudi za kupinga ukatili dhidi yao katika hafla iliyoandaliwa na benki hiyo jijini Dar es Salaam jana. Kushoto ni Meneja wa NBC Kanda ya Dar es Salaam Rachel Mwalukasa na kulia ni Meneja wa Tawi la Sea Cliff, Mariam Kombo.
Baadhi ya mameneja wa matawi ya Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) wakijitolea kuosha magari ili kuchangisha fedha kwa ajili ya kusaidia watu wenye ulemavu wa ngozi (albino) na kusaidia juhudi za kupinga ukatili dhidi yao katika hafla iliyoandaliwa na benki hiyo jijini Dar es Salaam jana. Kushoto ni Meneja wa NBC Tawi la Muhimbili, Fatma Gulamsood,Meneja wa Tawi la Mnazi Mmoja, Osmund Kinunda na Meneja wa Tawi la Sea Cliff, Mariam Kombo.
Baadhi ya mameneja wa matawi ya Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) wakijitolea kuosha magari ili kuchangisha fedha kwa ajili ya kusaidia watu wenye ulemavu wa ngozi (albino) na kusaidia juhudi za kupinga ukatili dhidi yao katika hafla iliyoandaliwa na benki hiyo jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Meneja wa NBC Tawi la Muhimbili, Fatma Gulamsood,Meneja wa Tawi la Mnazi Mmoja, Osmund Kinunda na Meneja wa Tawi la Kichwele, Frank Mwanga.
Baadhi ya mameneja wa matawi ya Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) wakijitolea kuosha magari ili kuchangisha fedha kwa ajili ya kusaidia watu wenye ulemavu wa ngozi (albino) na kusaidia juhudi za kupinga ukatili dhidi yao katika hafla iliyoandaliwa na benki hiyo jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Meneja wa NBC Tawi la Muhimbili, Fatma Gulamsood,Meneja wa Tawi la Sea Cliff, Mariam Kombo na Meneja wa Tawi la Kichwele, Frank Mwanga.
Baadhi ya wafanyakazi wa NBC wakiosha magari ili kutafuta fedha kwa ajili ya kusaidia mapambano dhidi ya watu wenye ulemavu wa ngozi (Albino).
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...