Sehemu ya watumishi wa Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi wa Hesabu za Serikali wakishiriki katika matembezi ya Maadhimisho ya Siku ya Wanawake duniani ambayo katika mkoa wa Dar es Salaam yamefanyika katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es salaam jana.Kauli mbiu yao kama Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kwa mwaka huu tunapoadhimisha siku ya wanawake duniani ni:
Uwajibikaji Katika Rasilimali za Umma: "Tekeleza Wakati ni Sasa".
Kauli mbiu hii inalenga kuhamasisha jamii yetu kutambua dhana ya uwajibikaji katika rasilimali za umma ni shirikishi na hivyo ni muhimu kwa kila mtu kutekeleza wajibu wake sasa.
Home
Unlabelled
watumishi wa Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi walivyoadhimisha Siku ya Wanawake duniani
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...