Na Mwandishi Maalum, New York
Kufuatia ongezeko la makundi ya dini yenye itikadi , matukio ya kigaidi, kukosekana kuvumiliana na maridhiano, Katibu Mkuu wa wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki Moon, amewageukia viongozi wa madhebu ya mbalimbali dini duniani akiomba busara zao na uongozi wao.
Amesema, busara na uongozi wa madhehebu hayo ya dini unahitajika sana katika kuhubiri na kueneza kuvumiliana, maridhiano, stahimili, kuheshimiana na kujenga utamaduni wa kuzungumza miongoni wa jamii bila ya kujali dini zao au rangi zao.
SOMA ZAIDI HAPA
SOMA ZAIDI HAPA
Hili suala la kuharibu kwanza kisha ndio kukimbilia msaada na huruma ya viongozi wa dini hata kwetu lipo sana...juzijuzi tu kuna msemo kutoka ktk kitabu kitukufu kuna mtu alipewa kibusara kwamba ...ukishupaza shingo utavunjika na hutopata dawa....Ukiangalia kwa makini utaona ni visasi tu baada ya watu kuteswa bila sababu, nchi nyingi raia wake wamekimbia kwa sababu ya vita visivyo na kichwa wala miguu......
ReplyDelete