Neema Herbalist & Nutritional Foods Clinic ni wauzaji wa dawa mbalimbali za asili. Tunayo dawa nzuri ya asili inayo ondoa kitambi na kulifanya tumbo lako kuwa flat kabisa ndani ya siku kumi na nne.

Dawa ni ya asili kabisa " Pure Herbal", haijachanganywa na kemikali yoyote na haina side effects kwa mtumiaji.

BEI YAKE NI SHILINGI ELFU HAMSINI TU ( Tshs.50,000/=)

Kwa wasio weza kufika ofisini kwetu tunawapelekea dawa moja kwa moja mahali walipo (DELIVERY)

Kwa wateja wa mikoani, tunawatumia dawa kwa njia ya mabasi, kwa wateja waliopo Zanzibar tunawatumia dawa kwa njia ya meli na kwa wateja waliopo nje ya Tanzania, tunawatumia dawa kwa njia ya posta au DHL.

Pia tunayo dawa bora kabisa ya nguvu za kiume iitwayo JIKO ambayo inatibu na kumaliza kabisa tatizo la nguvu za kiume ndani ya siku thelathini.

Vile vile tunayo dawa ya asili inayosaidia kurudisha afya na mwili kwa mtu aliye dhoofika kwa magonjwa mbalimbali.

Tunapatikana jijini DarEs salaam,katika eneo la Changanyikeni karibu na Chuo Cha Takwimu.

Kufika ofisini kwetu, panda daladala za UBUNGO-CHANGANYIKENI kisha shuka kituo cha TAKWIMU halafu tembea hatua ishirini mbele kisha tazama upande wako wa kulia.

Kwa maelezo zaidi,wasiliana nasi kwa simu 0766538384 na kwa taarifa zaidi kuhusu huduma zetu, tembelea website yetu kwa kubofya hapa.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...