Meneja Mkuu wa Shirika la Ndege Fastjet Afrika Mashariki, Jimmy Kibati
(Kulia) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) katika uzinduzi wa safari mpya
kati ya Kilimanjaro, Tanzania na Entebbe, Uganda. Uzinduzi huo ulifanyika
katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Entebbe wiki iliyopita. Kushoto ni
Mkurugenzi asiye mtendaji wa Fastjet Tanzania, Lawrence Masha.
Meneja Mkuu wa shirika la Ndege la Fastjet Afrika Mashariki, Jimmy Kibati
(kushoto aliyeinama) na Mkurugenzi asiye mtendaji wa Fastjet, Lawrence
Masha (Kulia aliyeinama) wakikata keki kwa pamoja katika uzinduzi wa
safari mpya ya ndege hiyo kati ya Kilimanjaro, Tanzania na Entebbe, Uganda. Uzinduzi huo
ulifanyika katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Entebbe wiki iliyopita.
Wengine pembeni ni Mshauri Kibiashara wa Fastjet, Ian Petrie (Kulia) na
Mkurgenzi mtendaji wa Simba Travelcare, Uganda, Declan Peppard (Kushoto).
Meneja Mkuu wa shirika la Ndege Fastjet Afrika Mashariki, Jimmy Kibati
(wapili kushoto) akipongezana na mkurugenzi asiye mtendaji wa Fastjet
Lawrence Masha (watatu kushoto) katika uzinduzi wa safari mpya kati ya
Kilimanjaro, Tanzania na Entebbe, Uganda. Uzinduzi huo ulifanyika katiKa
uwanja wa ndege wa kimataifa wa Entebbe wiki iliyopita. Wengine pembeni ni
Mshauri Kibiashara wa Fastjet, Ian Petrie (Kulia) na Mkurgenzi mtendaji wa
Simba Travelcare, Uganda, Declan Peppard (Kushoto).
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...