Hannival akipapasa zeze la Kihabeshi
Timu kamili ya Ethio-Swahili Fusion wakishambulia
Juma Setumbi akipongezwa na mkongwe Dr Mulatu
Leo Mkanyia akimkaribisha rasmi King of Ethio Jazz Dr Mulatu
Dr Mulatu na Leo wakishambulia jukwaa
Wadada wa Kihabeshi wakitwanga Swahili Blues kihabeshi habeshi. Kwa habari kamili na picha BOFYA HAPA





Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...