Na Bashir Yakub
Mara  nyingi  tunapoongelea  umiliki  wa  ardhi  watu  wengi  hukimbilia  kufikiri  kumiliki  ardhi   labda  Pugu,  Bunju, Tegeta, Kimara  na  hata  huko  mikoani.   Wengi  hudhani  kumiliki  ardhi  lazima   iwe  nyumba  hizi  nyumba  za  kawaida   tulizozoea  au  kiwanja    kama  viwanja tulivyozoea au  shamba  kama  shamba.  
Sikatai  kuwa  hizi  sio  ardhi   hapana  hizi  ni  ardhi   ila  ni  vema  sana  kuelewa  kuwa  ulimwengu  umekua  sana  na  kila  kitu  kimepanuka  ikiwemo  dhana  nzima  ya  masuala  ya  ardhi. 
 Leo  tunapozungumzia  suala  la  ununuzi  wa  ardhi   ni  vema  tukapanua    mawazo  yetu  zaidi.  Katika  kupanua  mawazo tutaangalia  kitu  ambacho  ningependa  watu  wengi  wakifahamu.  Kwa    jina  la  kitaalam  kitu hiki  huitwa  ardhi  vipande.  

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...