Mara nyingi tunapoongelea
umiliki wa ardhi
watu wengi hukimbilia
kufikiri kumiliki ardhi
labda Pugu, Bunju, Tegeta, Kimara
na hata huko
mikoani. Wengi hudhani
kumiliki ardhi lazima
iwe nyumba hizi
nyumba za kawaida
tulizozoea au
kiwanja kama viwanja tulivyozoea au shamba
kama shamba.
Sikatai
kuwa hizi sio
ardhi hapana
hizi ni ardhi ila
ni vema sana
kuelewa kuwa ulimwengu
umekua sana na
kila kitu kimepanuka
ikiwemo dhana nzima
ya masuala ya
ardhi.
Leo tunapozungumzia suala
la ununuzi wa
ardhi ni vema
tukapanua mawazo yetu
zaidi. Katika kupanua
mawazo tutaangalia kitu ambacho
ningependa watu wengi wakifahamu.
Kwa jina la
kitaalam kitu hiki huitwa
ardhi vipande.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...