Kamati ya ufundi ya Trade Facilitation and Ports Community Systems ya Shirikisho la Bandari ulimwenguni " International Association of Ports and Harbours (IAPH)" inakutana Paris , Ufaransa kujadili mambo muhimu ikiwa ni pamoja na kutayarisha Mpango Kazi 2015-2017 wa Kamati hiyo, kupitia na kuandaa taarifa itakayowasilishwa kwenye World Ports Conference itakayofanyika Hamburg, Ujerumani June 2015 , ambapo pia tuzo kwa bandari bora zitatolewa. Ndg. Phares Magesa ni mjumbe wa Kamati hiyo na pia ni mmoja wa majaji wanne duniani watakaoamua na kutoa tuzo hizo. Mkutano wa Kamati hii unafanyika katika ofisi za makao makuu ya bandari ya Paris.
Wajumbe wakiwa kwenye kikao
Majadiliano yakiendelea.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...