Mimi ni mwalimu wa Kiswahili Sweden natafuta mwalimu yoyote anayefundisha kiswahili hapa ili tuweze badilishana materials. Nashindwa kufundisha kwa ufasaha vile sijapata mwenzangu.

Kwa mawasiliano nitumie email.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 8 mpaka sasa

  1. Blog hii idumu milele, sante sana kaka Michuzi.

    ReplyDelete
  2. "Nashindwa kufundisha kwa ufasaha vile sijapata mwenzangu"

    Mwalimu wa kiswahili huyo.....

    ReplyDelete
  3. Unamkosoa nani???? Toa msaada wee sio mwalimu wa Kiswahili ili uanze kusahihisha Watu hapa. Hongera dada yetu kwa kutangaza Taifa letu na lugha yatu.

    ReplyDelete
  4. Sasa wewe mwalimu au mwanafunzi mbona mnatutia aibu lkn?!!

    ReplyDelete
  5. Wewee unaemkashifu mwenzio ndio mbululazzzz....huna kazi ingine mbona unarudiarudia au ni yuleyule..hahhaaa, tunawajua watz wasiopenda maendeleo ya wanawake..mwenzio kaula pole yako

    ReplyDelete
  6. Mbona mapovu jamani yanawatokaaa kwa wingi.....Hongera dada Linda keep it up,iron lady unajulikana..kaka zetu hoi na ndio wanakashifu hapa...

    ReplyDelete
  7. "Nashindwa kufundisha kwa ufasaha vile sijapata mwenzangu"
    MANENO HAYA HAYAJAKAA VIZURI KWA VYOVYOTE VILE MTAKAVYOTETEA. MWENZENU KATOA MAONI MNASEMA MAPOVU. KWA HAKIKA SIO HUKO NJE TU, WATU WENGI HATA HAPA NYUMBANI WANATAMKA MANENO WANAYODAI YA KISWAHILI LAKINI UKISIKILIZA AMA KUSOMA KAMA UNAJUA KISWAHILI UTATAMANI UZIBE MACHO AU MASIKIO.
    Sesophy

    ReplyDelete
  8. Msichokijua ni kwamba Linda ni mswid, 'blonde' na kiswahili ni lugha yake ya pili. anastahili kupongezwa sio kubezwa.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...