Afisa Mtendaji Mkuu wa kampuni ya uchimbaji madini ya Acacia, Brad Gordon, (wapili kushoto), akimpa maelezo Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Kitwanga, (watatu kushoto), alipotembelea eneo la chini ya ardhi la mgodiwa Bulyanhulu kiasi cha kilomita 1.5 chini ya bardhi, Jumamosi Aprili 11, 2015. Kushoto ni mwenyekiti wa kampiuni ya uchimbaji dhahabu ya Mlalo, Mohammed Hussein.
Naibu waziri wa nishati na madini, Charles Kitwanga, (kushoto), na Afisa Mtendaji Mkuu wa kampuni ya uchimbaji madini ya Acacia, Brad Gordon, (kulia), wakimsikiliza mtaalam wa shughuli za uchimbaji madini ardhini, wa mgodi huo, wakati wa ziara ya naibu waziri Jumamosi Aprili 11, 2015.
Naibu waziri wa nishati na madini, Charles Kitwanga, (wakwanza kushoto) na ujumbe wake, wakipatiwa maelezo ya kiusalama muda mfupi kabla ya kuanza ziara ya kutembelea shughuli za uchimbaji madini chini ya ardhi kwenye mgodi wa dhahabu wa Bulyanhulu uliko wilaya ya Msalala mkoani Shinyanga Jumamosi Aprili 11, 2015.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...