Waziri wa Kazi na Ajira, Mh. Gaudencia Kabaka amekutana na uongozi wa juu Madereva wa Vyombo vya Usafirishaji nchini na amefanikiwa kumaliza mgomo wa madereva hao baada ya kutangaza kufuta agizo lililokuwa likiwataka madereva wa mabasi na malori kwenda kusoma tena udereva katika chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT). (picha na Maktaba)
Home
Unlabelled
NEWS UPDATE: WAZIRI KABAKA AMALIZA MGOMO WA MADEREVA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Maamuzi baada ya maangamizi (it is always too late why???)
ReplyDelete