Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni,Vvijana na Michezo, Juma Nkamia, (wapili kulia), Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Adam Mayingu, (wapili kushoto), na Afisa Mtendaji Mkuu wa Maxcom Africa, Juma Rajabu, wakizindua huduma mpya ya wanachama wa Mfuko huo, kuwasilisha michango yao kupitia Maxmalipo. Uzinduzi huo ulifanyika kwenye ofisi za makao makuu wa PSPF, Golden Jubilee, katikati ya jiji leo Alhamisi Aprili 16, 2015. Kulia ni Mkurugenzi Mtendajiwa Glob al Publisher, Erick Shigongo, ambaye ndiye aliyebuni na kushawishi PSPF kutumia huduma hiyo kurahisishia wanachama wake.
Kutoka kushoto kwenda kulia, Naibu Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo, Zamaradi Kawawa, Afisa Mtendaji Mkuu wa Maxcom Africa, Juma Rajabu, Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Adam Myingu, Naibu Waziri Juma Nkamia, Mkurugenzi Mtendaji wa Global Publisher, Erick Shigongo, wakishikana mikono baada ya kuzinduz huduma hiyo

Baadhi ya wafanyakazi wa kampuni ya Maxcom Africa, na wenzao wa PSPF, katika uzinduzi

Baadhi ya maafisa wa PSPF

Wafanyakazi wa PSPF. Kwa habari kamili na picha zaidi BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...