Kaimu Mkurugenzi wa Shirika la Bima la Taifa (NIC) Bw. Sam Kamanga (kushoto) akimkabidhi mikataba ya mauziano ya nyumba zilizopo Buhire wilayani Musoma Mkurugenzi wa wakala wa majengo ya serikali, Bw. Bartazar Kimangano, katika ofisi za shirika hilo leo jijini Dar es Salaam.
Kutoka kushoto ni Mwanasheria wa Shirika Bima la Taifa (NIC) Bi. Verdiana Macha,Kaimu Mkurugenzi wa Shirika Bima la Taifa (NIC), Bw. Sam Kamanga, Mkurugenzi wa wakala wa majengo ya serikali, Bw. Bartazar Kimangano na Mkurugenzi wa utafiti na Maendeleo Bi. Asha Myanza wakisaini mikataba ya mauziano ya nyumba zilizopo eneo la Buhire wilayani Musoma leo jijini Dar es Salaam.PICHA NA AVILA KAKINGO WA GLOBU YA JAMII.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...