Mgeni rasmi, kuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Saidi Meck Sidiki (katikati) akifuatilia mechi hiyo na mwenyeji wake, Diwani wa Kata ya Mikocheni na Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yusuph Mwenda (kulia).
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam akikabidhi pikipiki ya matairi mawili maarufu ‘bodaboda’ kwa kiongozi wa timu ya Morning Star. Kulia kwake ni Diwani wa Mikocheni na Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yusuph Mwenda.
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Saidi Meck Sadiki akikabidhi Bajaj kwa Nahodha wa timu ya Texas, Kallage Mgunda baada ya timu yake kunyakua ubingwa wa fainali hizo.

Mchezaji wa Timu ya Morning Star, Rama Bima akiwania mpira na beki wa Texas, Athumani Arch (kulia).
Nahodha wa timu ya Morning Star, Mwalimu Akida akiwania mpira na Beki wa Texas, Athumani Arch (kulia).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...