Vifusi vya mchanga ambavyo vimemwagwa kwaajili ya kutengeneza barabara ya mtaa wa Lion Sinza jijini Dar es Salaam.
Alama ya barabarani inayoonyesha  vyombo vya usafiri vipite upande wa kulia wakati ujenzi ukiendelea.
 Mashine inayotumika kushindilia udongo wakati wa kutengeneza barabara.
Mafundi wakiendelea na ujenzi wa barabara ya mtaa wa Lion Sinza jijini Dar es Salaam.
(Picha zote na Avila Kakingo,Globu ya Jamii)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...